Recent content by Mwanahalisi20

  1. M

    Ripoti ya Polisi ya Shambulio dhidi ya Mh. Mbowe - Inawezekana Jeshi la Polisi lilifanya kazi kwa kushirikiana na Spika wa Bunge, Mh. Ndugai

    Kwa style hii ya Muroto na IGP Zero sidhani Kama Uchaguzi wa mwaka huu utamalizika Salama. Naona dalili zote ya kile kilichotokea Marekani kwa Polisi kumwua raia Marehemu George Floyd kinakwenda kutokea Tanzania. Muda utaongea!
  2. M

    Ripoti ya Polisi ya Shambulio dhidi ya Mh. Mbowe - Inawezekana Jeshi la Polisi lilifanya kazi kwa kushirikiana na Spika wa Bunge, Mh. Ndugai

    Katika swala hili la Mhe. Mbowe kushambuliwa na kuumizwa kuna makosa makubwa sana ya kiufundi yamejitokeza nayo ni: Polisi kuruhusu Bunge, Wabunge na Spika kuingilia Uchunguzi na hivo uvuruga kabisa ushahidi wa tukio hili. Polisi wameshindwa kabisa kuthibitisha pasipo Shaka kuwa Mhe. Mbowe...
  3. M

    Tanzania tumejifunza nini na kifo George Floyd?

    Dunia imezizima, Africa imezimama na Marekani imezizima. Kifo cha Mmarekani mweusi Mr. George Floyd(48) kimebadilisha kabisa mwelekeo wa siasa za Kibaguzi si Marekani tu baali dunia nzima ikiwemo Tanzania. Siasa za Kibaguzi zipo tu kila sehemu duniani. Kuna watu wanafikiri ubaguzi ni wa rangi...
  4. M

    Muswada wa Rais, Spika, Waziri Mkuu kutoshitakiwa unapangiwa siku mbili Juni 5&6 tena kwa hati ya dharura

    Hata wakiminya sheria za Tanzania, Wajue, ICC Mahakama ya Kimataifa Ina wasubiri....!
  5. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Hivi kusimamia sheria, Utawala Bora na ulio wa Haki ni kujifanya mjuaji? Tambueni Haki Zenyu enyi Wadanganyika wa karne hii!
  6. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Tatizo kwa awamu hii hakuna Utawala wa sheria. Magufuli ndiyo kila kitu! Jiwe anaingilia Mihimili yote kana kwamba yeye ni muumba wa Tanzanians na nchi yote. Very shameful President ever!
  7. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    I beg to differ! Magufuli halipi mshahara wa any civil servant. Kodi za Watanzania ndizo zinazolipa mishahara ya all civil servants inTanzania including Magufuli himself!!!Tatizo kubwa la Watz ni unafiki,nidhamu ya woga na kutanguliza maslahi binafsi!
  8. M

    COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani? Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani? Kwanini waseme uongo huu waachwe?

    Hayo ni maswali ya kihuni. Hivi huko wanakotangaza idadi ya Maambukizi, walokufa au kupona kunakuwa na Ufufuo wa wafu? Hizo ni data zinaxosaidia ku-alert jamii na kusaidia kupanga strategies za kukabiliana na Covid-19 kwa kujua ukubwa au udogo wa tatizo....! Kunyamaza au kuficha taarifa za...
  9. M

    COVID-19: Nani mkweli kati ya Serikali yetu na Ubalozi wa Marekani? Je, Tanzania tunawaogopa sana Wamarekani? Kwanini waseme uongo huu waachwe?

    Uko sawa. Kuna watu wanashindwa kuelewa kuwa Eneo la Ubalozi wa Merekani nchini Tanzania ni nchi kamili ya USA na Balozi ana Haki ya ku-report lilote au chochote anachokiona ndani ya Tanzania. Covid-19 bado ipo Tanzania na ndiyo maana bado Serikali inasistiza watu kuvaa Barakoa, Majitiririka na...
  10. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Wewe zuzu kwelikweli! Pole sana. Hivi hujamsikia Rais wako Jiwe akisema kuwa Serikali hainaga shamba? Au mwenzetu unapewaga chakula cha bure?
  11. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Hoja alikuwa nayo ila ameshindwa kujenga hoja kuitetea. Hivo Technicalities kwa lugha za Kimahakama zime mtoa TKO!!!
  12. M

    Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

    Umenikumbusha jina la Baba wa Taifa la Zambia Mzee Kenneth Kaunda. Very likely the Advocate crossed the border from Kitwe to Mbeya and pretends to be a Nyakyusa from Ileje...!!
  13. M

    GE2020 Ikiwa unakubalika sana kwanini mizengwe kibao uchaguzi 2020

    Ni kweli. Ongeza na M-7(Uganda),Kagame(Rwanda); Omar Bashir(Sudan)Idd Amin(Buganda), nk.
  14. M

    GE2020 Ikiwa unakubalika sana kwanini mizengwe kibao uchaguzi 2020

    Kwa hakika kabisa Hilo ni chaguo la Shetani....!!!! Tabia ya mtu mcha Mungu itajidhirisha kwa watu!
Back
Top Bottom