https://www.youtube.com/live/YM6E5-HS0cg?si=21CIYEQBhoNnR8Qj
UDOM PUBLIC LECTURE: DAVID KAFULILA YUKO LIVE
Katika mhadhara wa umma ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), College of Business and Economics, leo tarehe 3 Juni 2026, David Z. Kafulila, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia...
AFRICA DAY 2026: PPP NI DARAJA LA MAENDELEO YA AFRIKA
Katika kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2026, Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Tanzania (PPPC) kimetoa ujumbe wenye maono makubwa kuhusu mustakabali wa bara la Afrika kupitia ushirikiano wa maendeleo na uwekezaji...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, wakati akiwasilisha Bajeti ya Wizara...
Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023:
1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa vikiendeshwa na sekta binafsi.
2. 40% ya abiria wote duniani walihudumiwa kupitia miradi ya ubia...
Dar es Salaam. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof Yunus Mgaya amesema hofu ya wananchi inayotokana na falsafa ya kisiasa ya kihistoria inakwamisha ubia katika sekta ya maji nchini.
Prof Mgaya ameyasema katika kongamano la kitaifa kuhusu ubia kati ya sekta ya umma na sekta...
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija...
Dar es salaam, Agosti 2025 – Akihutubia Taifa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oct 29. 2025, Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imefanikisha mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii katika kipindi cha miaka minne iliyopita.
Rais Samia alisema kuwa Bajeti ya Serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.