Recent content by Mwanahabari Huria

  1. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila yuko chuo cha UDOM akiwajengea uwezo vijana wasomi Watanzania kuhusu PPP

    https://www.youtube.com/live/YM6E5-HS0cg?si=21CIYEQBhoNnR8Qj UDOM PUBLIC LECTURE: DAVID KAFULILA YUKO LIVE Katika mhadhara wa umma ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), College of Business and Economics, leo tarehe 3 Juni 2026, David Z. Kafulila, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia...
  2. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Africa inaweza kupunguza zaidi tatizo la Ajira kwa Watoto wa Kiafrica kupitia Ubia | Happy frica Day 2026

    AFRICA DAY 2026: PPP NI DARAJA LA MAENDELEO YA AFRIKA Katika kuadhimisha Siku ya Afrika Mei 25, 2026, Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi Tanzania (PPPC) kimetoa ujumbe wenye maono makubwa kuhusu mustakabali wa bara la Afrika kupitia ushirikiano wa maendeleo na uwekezaji...
  3. M

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa wageni wa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, wakati akiwasilisha Bajeti ya Wizara...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Miradi ya Ubia ni Salama na Haina Tishio lolote kwa Usalama wa Taifa

    Bw. Kafulila amesema miradi ya ubia ni salama na imekuwa ikisaidia maendeleo ya sekta mbalimbali duniani. Kwa mfano, kufikia mwaka 2023: 1. 14% ya Viwanja vya ndege vyote duniani vilikuwa vikiendeshwa na sekta binafsi. 2. 40% ya abiria wote duniani walihudumiwa kupitia miradi ya ubia...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PICHA: David Kafulila aifikisha Tanzania nafasi ya 9 Duniani kwa PPP.

    Hongera Rais Samia, Hongera Kafulila Hongera team PPP Centre
  6. M

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Happy family day Tanzania

    Anaeleweka
  7. M

    JamiiForums Tanzania Prof Mgaya: Hofu ya kihistoria inakwamisha ubia katika sekta ya maji, Je, Mawazo ya Profesa huyu anayeheshimika zaidi Duniani yana ukweli kiasi gani?

    Dar es Salaam. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Prof Yunus Mgaya amesema hofu ya wananchi inayotokana na falsafa ya kisiasa ya kihistoria inakwamisha ubia katika sekta ya maji nchini. Prof Mgaya ameyasema katika kongamano la kitaifa kuhusu ubia kati ya sekta ya umma na sekta...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Samia aahidi trekta 10,000 karibu kila kijiji trekta moja

    === Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampiku Hayati Magufuli kwenye kila sekta

    Dar es salaam, Agosti 2025 – Akihutubia Taifa kwenye uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oct 29. 2025, Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imefanikisha mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Rais Samia alisema kuwa Bajeti ya Serikali...
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 PICHA:Uchambuzi, Historia na Uelekeo wa kampeni za Uchaguzi mkuu 2025

    TANZANIA iko na Rais Samia
Back
Top Bottom