Ninajifunza Kiswahili miaka 4 hivi, nilikuwa katika Tanzania mwaka uliopita, na sasa naandika insha kuhusu Shaaban Robert, lakini siwezi kutafuta yo yote kuhusi jadi za Wabanti (zilizoandikwa kwa Kiswahili) , kwa hivyo naomba msaada wenu)
Hamjambo marafiki! Mimi ni mwanasayansi kutoka Urusi. Zina langu ni Maria. Mnisaidie tafadhali kupeleleza swali hilo. Mniandikie fikra zenu kuhusu jadi na mila za Wabantu na maana ya jadi katika jamii. Nitafurahia kupokea mawazo yenu yo yote. Asante sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.