Recent content by Mwanadarubinitza

  1. Mwanadarubinitza

    ufafanuzi

    Nimeandikiwa hivi; Don't secure a higher education loan for academic 2015/16 on the 1,2 & 3 lot Unakuwa amekosa au tuendelee kusubil majina yaliyobaki 3095 ktka next lot
  2. Mwanadarubinitza

    Ufafanuzi

    sijapata mkuu awamu zote tatu
  3. Mwanadarubinitza

    Ufafanuzi

    Number did not secure a high education loan for academic 2015/16 on a 1,2&3 lot INA maana unakuwa umekosa au tuendelee kusubiri majina yaliyobaki 3095
  4. Mwanadarubinitza

    HESLB watoa awamu ya tatu ya mikopo 2015/16

    Tusubilie 4 lot maana kuna majina mengne ndg maana yalikuwa yamebaki majina elf 10 toa ya leo
  5. Mwanadarubinitza

    TCU wameachia Batch ya Pili Mpya kwa walioomba Vyuo mwaka jana na kusitisha

    Niangalizieni jina kama limo kwenye orodha ADINANI.M.ISSA
  6. Mwanadarubinitza

    Majina ya batch two ya T.C.U lini?

    Majina ya batch two kwa wale waliomba kudahiliwa upya kwa mwaka wa masomo 2015/16 yanatoka lini maana mpaka sasa sijajuha msahada wenu. Maana na mie mhanga wa hlo tatizo maana na barua nilishatuma tangu tarehe 06 mwezi huu?
  7. Mwanadarubinitza

    Majina ya batch two ya T.C.U lini?

    Majina ya batch two kwa wale waliomba kudahiliwa upya kwa mwaka wa masomo 2015/16 yanatoka lini maana mpaka sasa sijajuha msahada wenu. Maana na mie mhanga wa hlo tatizo maana na barua nilishatuma tangu tarehe 06 mwezi huu?
Back
Top Bottom