Recent content by mwanachisi

  1. M

    Tuache kuitupia Serikali lawama dhidi ya wanafunzi waliokosa mikopo

    Hivi hapo unaona umetiririka mambo ya maana yanayoweza kumshawishi mtu mwenye akili timamu akakuewa, nashangaa!! Mdahiliwa ametoka katika familia maskini inayoishi kwenye nyumba ya nyasi, mlo mmoja kwa siku, shule ya kata hivi huyu mtu anajipangaje kwa tuition fee ya 4M +mengineyo, tuache utani...
  2. M

    Edward Lowassa na Wanaomzunguka

    Watanzania tu vichwa maji, tatizo hatukawii kusahau sijui nani katuroga!! jamaa hafai kundi lake litaiuza nchi na kutimkia nje ya nchi.
Back
Top Bottom