Habarini wana JF niende moja kwa moja tu,
Jamani nauza heavy duty stapler mpya kabisa nilinunua kwajili ya kufungua office yangu sasa naona mambo yamenikalia ndivyo sivyo nazani mnaelewa.
Nimeamua kula hasara, dukani inauzwa laki na sitini.
Binafsi nataka laki tu! Napatika Zakhem.
Kwa...