Inawezekana nimechelewa kutoa jawabu/ufafanuzi lakini pia naamini kwa wale watakao taka kurudia itawasaidia.
Ipo hivi, Ukirudia mtihani ni lazima upate cheti, haijalishi ni masomo mangapi umeyafanya. Kigezo cha kusoma A-level ni 'C' tatu na kuendelea. Sasa kama unazo 'C' mbili na ukapata ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.