Mrejesho
Sijafanya jambo lolote ie diagnosis nk. Nilichukua ushauri tu wa fundi umeme mmoja niliebahatika kuonana nae kuwa kuna uwezekano maji hufika mahala ambapo si sahihi kufika ndiyo maana taa inawaka, alitumia kigezovha gari ipo chini sana. TAA YA CHEKI INJINI HAIJAWAKA TENA TOKA...
Hapana, hakuna mabadiliko ya muungurumo na nilipita kwa fundi makenika mmoja wa injini kuuliza baadhi ya mambo juu ya injini na akawasha gari akasema ipo sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za leo,
Ndugu zangu naamini kuna mafundi wazuri tu humu na wazoefu wa masuala ya magari
Nina tatizo ktk gari yangu aina ya Toyota Grand Mark 2 (Gx 110 injini ni 1G kavu). Kwa masiku kadhaa ya wiki iliyopita hapa Dar kulikuwa na mvua sana.
Historia fupi ya tatizo
Sasa kwa maeneo nayokaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.