Ulikuwa unakwepa kwepa kuleta picha za makambako zenye ujazo unatafutiza jengo moja moja sasa nimeshazipata tena current kabisa za September 2025🤭🤣🤣 nyingine hiyo👇
Yani kijiji bila kupingwa hapo ndio nje ya mji kwa ukuaji gani huo sasa 😂😂😂😂
Hoja na ushahidi viko hapa👇😁🤭
Yaani Makambako yako hiyo ni kijiji tu kilichochangamka na fujo ya hela wala sio mji wa kutamba nao yaani huu uchafu 👇😂😁🤭🤭
Ndio maana huwa unachukia na kuumia sana nikipost Katoro 🤭😂😂
Makambako ukiweka kwa pamoja na Katoro unaweza sema Makambako ndio kuzimu 🤭🤭🤭
Katoro 🔥🤩🤩
Makambako a.k.a kuzimu 🤭🤭
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.