Recent content by Mwalimu mkuu 2

  1. M

    Idara ya Elimu kuanzia Julai, Agosti na Septemba 2024 aliyehusika na upandishaji wa madaraja kwa walimu aje atoe majibu

    Waziri wa utumishi na Tamisemi mnatakiwa kutoa majibu ni nani aliyehusika na hili. Umeajiriwa mwaka mmoja na mtumishi mwenzio mwingine umemtangulia lakini kilichotokea july-septemba kuna watumishi walipanda madaraja ya mishahara kwa lugha ya mserereko, waliobaki majibu yaliyotolewa na HR na TSC...
  2. M

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Naona ajira za ualimu zimetoka, kuna kijana amekuwa akijitolea kwenye kituo chetu kwa miaka takribani mitano na anafanya kazi kwa uadilifu mkubwa na anaipenda kazi yake. Tatizo amekuwa kila akiomba hapati kwa miaka yote hiyo. Naomba kama itawezekana akumbukwe kipindi hiki, kama utaruhusu...
Back
Top Bottom