Recent content by mwalimu maskini

  1. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    mkuu lengo haikuwa kubomoa bali kujenga. matusi nayameza maana kuweka sauti kunaaibisha zaidi na hivyo kunyima nafasi ya kujirekebisha. nilichofanya ni kuonyesha udhaifu kidogo ili jamaa ajirekebishe
  2. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    sikuamini maskio yangu aliposema kuwa watanzania tumebarikiwa kwa kila kitu ila kasoro tumelaniwa na Mungu kwa kuwa na gb ndogo ya memory na kwamba eti watu wa kagongwa tunagongwa na kwamba tumegongwa kwa sababu tumechagua jina la sehemu hii kuwa kagongwa!
  3. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    mkuu amefunikwa kwa mbali sana na wasemaji wengine kiasi cha kutia shaka uwezo wa kuimudu na kuitendea haki nafasi aliyonayo. kama nikiambiwa kutoa tathimini hotuba yake ilikuwa chini ya kiwango sana hata katibu wa bavicha kata hawezi kutoa hotuba ya chini kiasi kile.
  4. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    audio ninayo mkuu ila nadhani nitaiweka. Muhimu ajue udhaifu, ajirekebishe ili aendane na viwango ya dhamana aliyonayo.
  5. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    nashukuru mkuu. hope wewe ni mwanaukawa.mie nimetoa mtizamo na ukweli wangu kwa nia ya kujenga ndiyo maana sijataka kuweka sauti maana ninayo.Mhadhiri na katibu wa mkoa wamenikosha. walikuwa very philosophical na hakika ni cdm material
  6. M

    Protas, Umenitaabisha, Umenihuzunisha, Jirekebishe na ujipange

    Wakuu salaam. Kwanza kabisa nitoe taarifa kuwa mie ni mwanamageuzi kindakindaki, Muumini safi wa ukawa na Mwanachadema asiyetahayari. Pili niseme kuwa leo ni mara ya kwanza kuanzisha mada hapaJF na kwa kweli ni baada ya kushindwa kuvumilia nilichokishudia leo. Leo nilibahatika kuudhuria...
  7. M

    Ingawa tayari tunaye mgombea bora, UFISADI umetunyima uwezo wa kumhisi, kumuona wala kumsikia!

    Tundu anafaa sana kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule kwa hili taifa. He is the Messi you need in a team. ni bahati mbaya kwamba anaogopwa sana na mafisadi na yamewatungia wimbo hata wasio mafisadi na wao wanauimba. Vijazi vijavyo havitaamini kwamba we didn't see him. Akiwa rais wa nchi hii...
  8. M

    Ushahidi wa Jinsi Zitto alivyompigania Mnyika Jimbo la Ubungo 2010!

    nidanganye ili nipate nini? huo mkutano ulifanyika mabibo karibu na chuo cha NIT. pembeni yake kuna kijiwe cha ccm.mie nilihudhuria in person! unaweza ukaona hata nguzo kubwa za umeme. wewe huo wa kimara ulihudhuria na je kimara mavurunza kuna nguzo za umeme upande huo?
  9. M

    Ushahidi wa Jinsi Zitto alivyompigania Mnyika Jimbo la Ubungo 2010!

    awe na adabu kwa msaliti? huu mkutano ulifanyika mabibo, mie binafsi nilikuwepo.Zitto alikuja too late na hakuwa na influence ya maana.wana wa ubungo tulikuwa tumeshamchagua Mnyika tangu 2005.
  10. M

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    nakubaliana na wewe. nachojaribu ni kufikiri nje ya boksi.mfano kompyuta inafaa sana kwa kuchapa lakini ukiitumia tu au zaidi kwa kuchapa unakuwa unaitumia chini ya kiwango
  11. M

    Bila Lissu Bungeni tungeburuzwa sana

    kamanda mbowe amekusikia atamsajili huyo jamaa. Asante mbowe kwa usajili mzuri we ni kocha bora hapa Tanzania. Hata hivyo kwa hoja za jana nadhani Lissu hafai bungeni maana ni kama tunamtumia chini ya kiwango. nadhani angeenda kufundisha ili tupate wananzuoni waliobobea kama yeye.
  12. M

    Watanzania Tufanye Haya Ili Tujikomboe Bila Damu Zetu Kumwagwa

    ushindi wa damu ndio mtamu hasa kama vita vyenyewe vilikuwa vya kujitetea na kudai haki.Mwaka huu tunakula na nyinyi sambamba ama zenu ama zetu mmezoea vya kunyonga mwaka huu mtakula vya halali.
  13. M

    Saed Kubenea anatumiwa na CHADEMA kuidhoofisha ACT-Tanzania

    you are a teacher like no other!
Back
Top Bottom