Nitakutajia akishachukua fomu kule ofisini amekwenda na kusaini tu kitabu Cha wageni hao kina asas na Hanspope wametuma wapambe wako field kolikoli na wajumbe wa mkutano wa wilaya wanatuambia iringa jimbo la kalenga safari hii linatoa waziri wa nishati na madini kwani huyu bwana ni mbobevu wa...
Hivi Jana huku kalenga wapiga debe wa mgombea wa asas na Hanspope jimbo la kalenga walikuwa wanamnadi kuwa huyu jamaa hakutumbuliwa kwa ubadhirifu ila aliomba ruhusa Mh Magufuli akateuwa mtu mwingine ili huyu mgombea wa kina asas na Hanspope aje kalenga achukue ubunge
Swali ninalojiuliza asas...
Maskini kibassa huyu anajidanganya kutaka ubunge jimbo la kalenga wakati wagombea tumejaa Tena alikuja tu kuweka saini kitabu Cha wageni hapa ofisi za ccm wilaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.