Wala hisia zako tu...Wewe umeipata info mapema kuhusu hizi gari ila kuna wahusika wenye hela zao wanata kupata izo info in time watanipa info wala usipoteze time kufurahisha maboya wasikua na wazo hata lakumiliki gari...
Sio ishu gari zilikua kumi Leo asubui zimetoka 4 kwa cash...na mbili zimewekwa kuna watu wamikoani wanakuja chukua...mbili ndo izo zinaletwa kwenu kama huwezi fika bei si tatizo mkuu...pia kwa ushauri ni mzuri ila habari ndo hio masela si kishachokonoa bei hio nimetoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.