Recent content by Mwakongo

  1. M

    David Kafulila: Nchi zenye uchumi wa $1Trilioni duniani ziko 19 tu wakati Africa hakuna hata moja Tanzania tutaitoa Africa kimasomaso ifikapo 2050

    Tuko Pamoja.... Nimemuelewa sana Bwana Kafulila nilitamani kuwako Mwanza kwakweli... ila Ratiba zimeingiliana.
  2. M

    Nakuuliza Samia vipi adui wako ni Tundu Lissu ?

    Kwa Akili zipi za kuchafua nchi ?
  3. M

    GE2025 Kuanzia tarehe 19 Julai, "She will lose total control of Her Government"

    Bila sha Kuna Utundu wako ulikwa Mdogo sana ila si kosa lako kuna Mtu anakutia Kichwa ndiyo maana umekuwa na Macho na huoni.
  4. M

    GE2025 Kuanzia tarehe 19 Julai, "She will lose total control of Her Government"

    Kama Kama dada yenu aliyopo Kenya anafanya kwa ajiri ya matumbo ya Mabwanyenye...
  5. M

    TANZIA Mama Anna Makete, Mwenyekiti UWT Kinondoni Afariki Dunia

    Apumzike kwa Amani huyu Mama
  6. M

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    Wewe Mungu unamjua?
  7. M

    ARUSHA YA KENANI Sekta ya Afya Yaimarika Chini ya Rais Samia

    Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba umepelekea wagonjwa 152,332 waliotakiwa kwenda kutibiwa nje ya Mkoa na sasa kutibiwa katika Hospitali yetu ya Mount Meru.
  8. M

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    Hamna hoja....
  9. M

    ARUSHA YA KENANI Sekta ya Afya Yaimarika Chini ya Rais Samia

    Chini ya Rais Samia Upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi Mkoani Arusha wafikia asilimia 93. Rekodi za Kitaifa zinaonesha kuwa Tanzania imeongeza MRI kutoka 7 hadi 13, CT scan kutoka 13 hadi 45, Digital X-Ray kutoka 147 hadi 491 na Ultrasound kutoka 476 hadi 970. Hata hivyo Mkoa wa...
  10. M

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    KUTIKI PAKO PALE PALE... KUPIGA KURA NI HAKI YA MTU baki na chama chako cha kupiga makelele na bila kutengeneza hoja za Msingi mnaendeshwa kama gari bovu.
  11. M

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    Hapo ni Sekta ya Elimu au hujasoma Maelezo...
  12. M

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora!

    ARUSHA TZS Bilioni 99 kwa Elimu Bora! Rais ametumia TZS99bn kujenga shule mpya 34, madarasa 834 mabweni 60 na maabara 78. Rais Samia amejenga shule mpya 27 za sekondari, shule mpya saba (7) za msingi na kujenga vyumba vya madarasa 843 na mabweni 60 ya wavulana na wasichana. Hata hivyo Mama Samia...
Back
Top Bottom