Hivi kuna Nyomi wapinzani wanapata Kama ambayo waliwahi kupata 2015 na hawakushinda mseme leo mbele ya Rais Magufuli ambae ametetea wanyonge wengi Tanzania
Wapiga kura wanajulikana siku zote na hiyo karatu imeongozwa na Chadema miaka 25 yote lakini hamna walichofanya lakini ndani ya miaka MITANO ya Rais Magufuli Karatu wamepata Hospitali, Ongezeko la bajeti ya Dawa na vifaa tiba vimeongezeka, Elimu bure na miundombinu mbalimbali vimetolewa bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.