Huu ndoo upuuzi wa Tanzania hii badala ya kuchukua hatua za kiuchunguzi unadai vielelezo nini maana ya TAKUKURU NA TISS.
Hawa ndoo wanatakiwa wafuatilie sasa. Au tuache watu waendelee kupiga dili.
Uongozi wa Chuo cha ualimu Kabanga kilichopo Mkoa wa Kigoma uchukuliwe hatua kwa matumizi mabaya ya fedha za serikali.
1.Mnamo mwaka 2011 ulipitisha mchango wa shilingi 20000 kwa kila mwanachuo kwa ajili ya ujenzi wa maktaba haikujengwa pesa zikaibiwa.
2.mnamo 2013 mchango ulichangishwa pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.