Recent content by Mwajuma mohamedi

  1. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Hellow habar...nilikua nmepoteza sim nikashindwa kukutafuta,naomb unisaidie sample ya report za uhasibu za kweny kampuni za mabus.
  2. M

    Natafuta kazi kwenye sheli

    Andika barua ya maombi,ukiambatanisha na barua ya mdhamini ,passport size, pamoja na barua ya utambulisho kutoka serikali za mitaa peleka sheli husika,unaweza ukaandika nying pia ukasambaza sheli tofaut tofaut huwez jua bahati yako itaangukia wap coz kam huna connection pia inakua n changamoto...
  3. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Asante mpendwa nmekuelewa...Asante pia kwa ushaur mzur nitaufanyia kaz[emoji120][emoji120][emoji120]
  4. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Tulifundishwa computerized accounting system ukinielekeza ntaelewa
  5. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Asante sana nashkuru[emoji120]...nitafany ivyo
  6. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Asante sana nmekuelewa vyema ,ntalifanyia kazi
  7. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Saw nmekuelewa ,ntajitahid nisimuangushe ,mwanzo mgumu ila naamin Kila kitu kitakua sawa.
  8. M

    Msaada: Jinsi uhasibu unavyofanyika kwenye kampuni za mabasi

    Asante kwa ushauri mzur [emoji120],nmekuelewa ctoendekeza tamaa ntafany kazi kwa bidii
Back
Top Bottom