Nakuonea huruma ndugu kwani bayana una mtazamo finyu sana. Kubaguliwa ni kitu kibaya sana kwako na nimesikitishwa kusikia hiyo. lkn usiseme wazungu wote wawe manyang'au, bora ukague tabia na vitendo ya kila mtu mwenyewe. Nilikuwa ninauliza msaada tu.
ndugu zangu,
Kwanza nijitambulishe kwa kuthibitisha mimi ndiye mzungu wa asili ya Kimarekani. Jina langu ni Riley (kifupi 'Rai') au pia watu wa kabila Taita huniita Mwadime - uchague lile unalolipendelea kuniita.
Kabla ya janga la UVIKO 19 niliwahi kuishi Afrika Mashariki haswa Tz takriban...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.