Ukiweka bei mzee ndio unampa mtu nafasi nzuri ya kufikiria kabla ajakupigia. Sio tuna piga ndio tunaanza kuulizana bei hiyo ni kupotezeana muda watu tupo kazini bana. Full details mzee ni muhimu sana hapa jamvini
Shukrani wadau, msiwe na wasiwasi zawadi zipo nyingi sana na hata ajira watu wataramba hapa hapa jamvini. Lakini hatuwezi kusema yote hapa mambo mengine yanabaki siri na ni kawaida kwa jambo hilo la usiri. Ukisikia mwaliko lazima uendane na kabahasha na pia napenda kuwatoa hofu wapu miongoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.