Recent content by Muza madafu

  1. Muza madafu

    SoC04 Usawa wa kijinsia usigeuzwe vita kati ya mwanaume na mwanamke

    Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia. Suala la usawa wa kijinsia limewekewa nguvu kubwa hapa nchini, ikiwa ni pamoja kuwekwa sera, utoaji wa elimu ya masuala ya kijinsia na kukomesha vitendo vya ukatili. Inasikitisha sana kwamva baadhi...
  2. Muza madafu

    SoC04 Tanzania tuitakayo ni kitovu cha sayansi na uvumbuzi barani Afrika

    Mawazo Yako ni mazuri sana pia 👏👏👏👏 Naomba unipigie kura tusonge mbele pamoja
  3. Muza madafu

    SoC04 Tanzania tuitakayo ni kitovu cha sayansi na uvumbuzi barani Afrika

    Linapokuja suala la sayansi na uvumbuzi tunakubaliana kwamba, ni fursa kubwa na yenye soko kubwa na la uhakika duniani kwote.licha ya Tanzania kutokuwepo kwenye orodha ya nchi zinazoongoza kwa ubunifu na uuzaji wa teknolojia duniani ,lakini Bado nchii hii Ina nafasi ya kuwekeza na kuwa nchi...
Back
Top Bottom