Recent content by muvijo

  1. M

    Harakati za kwenda wizara ya elimu zaweza kuzaa matunda juu ya hatma ya tuliokosa mkopo 2013/2014

    Tukutane maeneo yapi tuanze safari ya pamoja? Tuelekezane wadau najiopanga nauli nitoke bush kuja town kupiga kambi mpaka tupate jibu la THE INDEX.....SECURED LOA ACC 2013/2014
  2. M

    Majibu ya kupewa mkopo wizara yajibu

    asante mdau jana tulikuwa wote heslb nakuaminia ijumaa naungana nawewe (ninyi) kwenda wizarani kupata majibu, ngoja niotafute nauli yakunitoa chalinze nije
  3. M

    Majibu ya kupewa mkopo wizara yajibu

    Nashukuru mdau mimi by ijumaa nakuja kuunga company twende kama timu ili tuthibitishe mliyosema na waone yakwamba tupo waitaji na tutashindwa kwenda Vyuoni maana hata pesa za Registration hatuna so we cant wait for apeal setion. Tujumuike wote ijumaa wadau who DID NOT SECURE LOAN and THOSE WHO...
  4. M

    vp kunatatizo hapa?

    Mie nilipata Bsc Agronomy SUA ila ndo ivo majanga mdau. kesho tutapata majibu tu.
  5. M

    Waliomaliza Diploma 2013 kukosa Mkopo: NACTE wawalaumu HESLB?

    Asante mkuu kesho nawafuata ofisini kwao
  6. M

    Waliomaliza Diploma 2013 kukosa Mkopo: NACTE wawalaumu HESLB?

    niliomba pitia NACTE nikachaguliwa Bsc Agronomy SUA ila nimekosa loan, why Diploma holderS?
  7. M

    Waliomaliza Diploma 2013 kukosa Mkopo: NACTE wawalaumu HESLB?

    I am diplomd holder Mie pia nimeambulia did not secure na
  8. M

    vp kunatatizo hapa?

    Kwanza hongera kupata mkopo, vipi na wewe ni Diploma holder? maana niliomba through NACTE nikapata Bsc Agronomy lakini mkopo nimeambulia INDEX .......NOT SECURE.
  9. M

    Jamani habari za heslb na mikopo

    Kesho mkuu nitaenda HESLB so utapata news zote
Back
Top Bottom