Kwahio KUUA si kitendo cha kawaida naona hio ni roho ya Kipepo kabisa na wala haihusishi kabila tu pekee bali watu wote tu, awe mwanamke au mwanaume sina maana yawatu wote duniani bali wenye roho hizo za Kipepo. Kwahio acheni kuwakwaza watu waliooa kabila hilo na wanaotaka kuoa. Kwani ni...
Mtu yeyote asie na hofu ya Mungu , yaani asiekua naroho ya utu, mwenye roho ya kimnyama na katili ndio anayeweza kutenda UASI huo na si kabila hilo tu peke yake, anaweza akatoka kabila lolote hapa Tanzania na hata nje ya nchi na dunia yote kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.