Recent content by muu00

  1. muu00

    Binti wa kiislamu mwenye utayari wa kuwa mke

    Tuoe tunaopendezwa nao kwasababu Allah huakbar
  2. muu00

    Binti wa kiislamu mwenye utayari wa kuwa mke

    Habari zenu mimi nikijana wa kitanzania umri wangu 35 sio mlefu wala sio mfupi sio mnene wala sio mwembamba dini yangu ni Muslim naish Dar ni mfanya biashara naitaji mwanamke awe Muslim miaka 20 hadi 34 mwenye hofu ya mungu na utayar kuwa mke na awe na mwonekano mzur (shape). Rangi, kabira...
  3. muu00

    Nahitaji mpenzi

    We mwenyewe hofu ya mungu huna alafu unatafuta mwenye hofu ya mungu sijui ulilewa wakati unaandika 🤣🤣🤣🤣🤣
  4. muu00

    Nahitaji mpenzi

    Unamshilikisha mungu kwenye uzinifu 🤣
  5. muu00

    Nahitaji mke, awe na umri wa miaka 18-32

    Niko pamoja na wewe @inamnakusweke alafu kuoa mwanamke unae mtaka kwa sifa zako kwani dhambi hapana hayo mengine ya ajar shida za hapa na pale zipo tu ila kwakuanzia lazima niwe na mwanamke moyo na macho vitafurahi asitufosi 🤣
  6. muu00

    Nahitaji mke, awe na umri wa miaka 18-32

    Pole mamy dini nijambo muhim sana
  7. muu00

    Nahitaji mke, awe na umri wa miaka 18-32

    Habari zenu wana JamiiForums nahitaji mke alie na utulivu wa nafsi na siyo mwenye tamaa. Awe MUSLIM na pia awe bado hajazaa, umri awe 18-32. Awe mweusi au mweupe, pia awe na umbo zuri (shape). Mimi ni mweupe, mrefu kiasi, umri wangu 33, ni mfanya biashara. Kama upo serious karibu PM au ni...
  8. muu00

    Mwanamke mwenye vigezo hivi ukuje plzz

    Ndio mkuu nna shida kweli na mke
  9. muu00

    Mwanamke mwenye vigezo hivi ukuje plzz

    Hahaaa haya kumradhi njoo dm
  10. muu00

    Mwanamke mwenye vigezo hivi ukuje plzz

    Hapana mkuu mimi nibinadamu manunu ni myama
  11. muu00

    Mwanamke mwenye vigezo hivi ukuje plzz

    Hahahaa thnx mama
  12. muu00

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Mwanamke wa kiislam mwenye mwonekano na umbo zur naitaji kumuoa umri wake kuanzia 18 -30 awe na kazi kama hana awe na upeo wa kufanya biashara asie zaa
Back
Top Bottom