Recent content by Mutarubukwa

  1. M

    Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    MAENDELEO NA KAGERA Dhana ya maendeleo watu wengi huitafakari tofauti kabisa. Wataalamu wengi husema maendeleo ni ile hali ya kutoka kwenye hali duni kwenda kwenye hali bora( hali yenye unafuu kuliko ya awali) Watu wengine hudhani maendeleo ni mfano kupatikana kwa umeme, barabara safi tena za...
  2. M

    Haki ya Dhamana kwa Mtuhumiwa na maana yake

    Je,mtuhumiwa anaweza kumshitaki aliyemtuhumu kabla kesi yake hajasikilizwa? Mfano umshitaki mtu polisi au kama ni mtumishi kwa mamlaka yake ya nidhamu alafu yeye akushtaki mahakamani before kesi ya kwanza kusikilizwa?
  3. M

    Haki ya Dhamana kwa Mtuhumiwa na maana yake

    Hivi mtuhumiwa anaweza kunidhamini yeye mwenyewe?
  4. M

    SoC01 Kagera: Jitihada za kuleta Maendeleo na kuondoa Umasikini uliokithiri

    MAENDELEO NA KAGERA Dhana ya maendeleo watu wengi huitafakari tofauti kabisa. Wataalamu wengi husema maendeleo ni ile hali ya kutoka kwenye hali duni kwenda kwenye hali bora( hali yenye unafuu kuliko ya awali) Watu wengine hudhani maendeleo ni mfano kupatikana kwa umeme, barabara safi tena za...
Back
Top Bottom