Kila mwaka shule nyingi za serikali huwa zinawaagiza wanafunzi kuja na vifaa kama majembe, mafyekeo, ndoo, mifagio na vifaa vingine vya usafi.
Swali langu ni hili; ikiwa maagizo haya yanatolewa kila mwaka kwa wanafunzi wapya na hata wanaorejea shuleni, je, vifaa vya mwaka uliopita huwa vinaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.