Recent content by Mussisi

  1. Mussisi

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Naomba ushauri ninahitaji kusoma open university course ya information kuanza na certificate

    Kozi ya ICT ndio nahitaji kuisoma kama kichwa kinavyojieleza...... naomba ushauri juu ya hilo katika maswali yafuatayo 1. Je inawezekana? 2. Naomba kujua ninaweza badilishiwa muundo wa elimu katika kada yangu ya elimu kwa kutumia cheti cha ICT baada ya kumaliza masomo? Ni hayo tu naombeni...
Back
Top Bottom