Habari wana JF
Kuna changamoto ya taa za kuongezea magari eneo la Serengeti (Temeke), Taa ya kuongoza upande wa usalama kuvuka kwenda keko, taa ya kijani (Green light) haiwaki kwa muda.
Watu wa mamlaka walishughulikie kabla hakujatokea maafa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.