upo sahihi lakini kosa kubwa ambalo noobies wanalifanya ni kudhan ya kwamba forex is get rich quick schem kitu ambacho sio kbs, wengine hudhan betting na forex ni sawa jamb ambal si sawa, ni kutokua na maarifa na taarifa sahihi juu ya biashara hizi 2 bothy forex trading & cryptocurrency trading...
una mawaz mazuri ila unayatumia vibaya mkuu, unapozungumzia cryptocurrency unazungumzia high risk en volatily market, wakati unaitazama solana peke yake kweny side ya bullish try to think kuhusu how bitcoin went from $69K to less than $20K, unapotaka kufany investment kweny crypto or unapotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.