hakika andiko zuri sanaa, sema heading haikuweka waz kma unalenga wasomi ila naamini wengi watapata moyo na kuelimika kwa hili, hakika umepambana na ipo cku mtu atatoa shuhuda kabadilika pitia andiko hilo, naamini utakua mshindi wa pili wa shindano baada ya andiko langu naamini ntakua namba moja...
upo sahihi, maana njia ya maji na mabadiliko haya ya tabia ya nchi inakua ngumu sana, Tanzania iyo nyuklia ipo ya kutosha na technologia yake kwenye gharama ipo vip
kama mabadiliko yatatokea ukose maji kwaajili ya kilimo cha miwa utapata vipi ya kuzalisha umeme kwenye vyanzo vyetu, pia ni rahisi kiwanda kuchimba hata maji sababu faida hawaipati kwa kuuza tuu umeme maana ata sukari ni faida, maji kwaajili ya kilimo cha miwa ni kdgo kuliko ya kuzalisha umeme,
hakuna upotoshaji wowote na pia nafaham vzuri sensa ndo maana nmeweka wazi faida ipo ila ni ndogo sana kwani hakuna uhaba mkubwa wa takwimu zilizo chelewesha serikali kufanya maendeleo yake pasipo sensa, idadi ya wanafunzi inafahamika imetumika vip kutatua tatizo la madarasa na waalimu...
kabisa, maana gharama za ujenzi wa bwawa la nyerere unaweza kuwekeza kwenye viwanda vingi vya sukari na kufunga iyo mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia mabaki ya miwa,
idadi ya wafungwa inafahamika siku zote ni kubwa kuliko uwezo wa magereza zetu, kipi kimefanyika? idadi ya wanaojiandikisha kidato cha kwanza na darasa la kwanza inafahamika, je wamejenga madarasa au hawajui takwimu, mengine yanabaki siasa tuu na ndo maana nmesema sensa haina faida kubwa, means...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.