Recent content by Mushashamuga

  1. M

    Car4Sale Toyota carina TI inauzwa

    Kaka Gari nimeipenda lakini salio langu ni mil 6.2, kama inalipa nijuze tufanye biashara fasta. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

    Ni kweli mkuu,tayari kuna watu wawili ambao wameonyesha nia
  3. M

    Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

    Barabara hiyo inapigwa lami mkuu, mkandarasi yupo kazini,ndani ya miezi michache itakuwa imekamilika.
  4. M

    Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

    Nyumba sio ndogo hiyo mkuu,hapo umeona picha ya upande mmoja tu wa Nyumba,kama unahitaji ni PM nikurushie picha zaidi na ikiwekana upata nafasi ya kuja kuikagua.
  5. M

    Nyumba inapangiswa Kivule - Matembele

    Nyumba ya kisasa yenye room nne za kulala(pamoja na master) ipo ndani ya fence ikiwa na huduma zote muhimu kama Umeme na Maji inapangishawa,ipo maeneo ya Matembele ya pili kivule mita 200 kutoka barabara kuu ya banana kivule inayopigwa lami.kodi ni 250,000 kwa mwezi. Mawasilino piga namba...
Back
Top Bottom