ishu ya kuhonga by nature wanaume tumeumbiwa na kiuhalisia mwanamke hapashwi kunipenda zaid tyu aniheshimu hyo inatosha,ko wew ukiona mwanamke hakuombi hela shituka pia make sio asili yao kutokuomba hela hata kama anazo zakutosha
sometimes inakuwa accidental tu hisia zina dominate na utoto unakuwa mwingi suddenly wanajikuta washasex,,,,huku mtaan dogo mmoja alijitundika(suicide) baada ya ndugu kumtuhumu kambendisha ndugu yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.