Nilipata Ugonjwa ambao ulinitaka kupumzika kufanya shughuli zote ngumu na pia kuzunguka na magari now nimeshamaliza Tatizo langu na nipo sawa kiafya sina Shida yoyote wala kitu kitakachonizuia
Mtaji wangu sio mkubwa sana kufika kuajiri mtu ila mtu ambaye yupo dukani na yy anauza bidhaa zake so tumekuwa tunafanya share mda mrefu najiongeza ili nikajipate mimi kama mimi then nitaangalia kuweka mtu hapo baadaye ili kufanya shughuli nyengine kuongeza mtaji ukuwe zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.