ninavyofahamu kazi ikitangazwa inashindaniwa na wale watakaoomba ila kwa wale watakaofanya vizuri lakini hawakuajiliwa ndo majina yanawekwekwa kwenye kanzi data na kazi nyingine ikitokeo wanaitwa moja kwa moja kuepuka gharama za kurudia usaili.
nibora ya hawa ya erolink wanaita kwenye interview recruitment agency nyingine ukipeleka cv sahau kabisa kuitwa kwenye interview ingawa wanabana kwenye payment ila bora kukomaanao huku unaangalia michongo mingine kuliko kushinda kijiweni na watu wasionda shule yaaan huambulii kitu siku nzima
Nilipeleka CV erolink week iliyopita leo nimepigiwa sim nikafanye interview ya vodacom customer care.
Najua wapo wadau humu waliowahi kufanya interview pale.naomba dondoo muhimu kama mshahara wa vodacom customer care, majukumu ya customer care!
naona bado hamjanielewa nafasi zilizowekwa hapo na mdau zipo 30 na zilishatangazwa kitambo sana. nafasi mpya zilizotangazwa zipo 200 ambazo deadline ndo hiyo uliyoionyesha hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.