Recent content by mundo Willium

  1. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbali mbali za kutoa ushahidi Mahakamani

    Pia nilikuwa naomba msaada njia za awali napitia wapi maana nahitaji kumpa talaka
  2. M

    JamiiForums Tanzania Njia mbali mbali za kutoa ushahidi Mahakamani

    Habari ya saizi namshukuru Mungu kesi yangu imefanikiwa kuisha baina yangu na mke wangu, maana alitakiwa kupeleka mashahidi hakuweza kufanya hivyo sasa nipo huru na maisha yangu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Kesho ndo anapeleka mashahidi ndo maana niliomba nipewe muongozo namna ya kupambana na mashahidi hao wa mchongo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Pia nimesomewa kesi nilitaka kufanya jaribio la kutaka kumuua kwa bisibisi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Sijamchoma kabisa ila yeye amesema nimemtishia kumchoma na bisibisi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Sijamchoma
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Naomba msaada' mke wangu amenipeleka mahakamani kwa kosa la kutaka kumchoma bisibisi jambo ambalo si kweli na tarehe 18 anapeleka mashahidi nipeni njia ya kuwauliza maswali hao mashahidi
Back
Top Bottom