Recent content by mundo Willium

  1. M

    Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Kesho ndo anapeleka mashahidi ndo maana niliomba nipewe muongozo namna ya kupambana na mashahidi hao wa mchongo
  2. M

    Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Pia nimesomewa kesi nilitaka kufanya jaribio la kutaka kumuua kwa bisibisi
  3. M

    Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Sijamchoma kabisa ila yeye amesema nimemtishia kumchoma na bisibisi
  4. M

    Msaada jinsi ya kuuliza maswali Mahakamani

    Naomba msaada' mke wangu amenipeleka mahakamani kwa kosa la kutaka kumchoma bisibisi jambo ambalo si kweli na tarehe 18 anapeleka mashahidi nipeni njia ya kuwauliza maswali hao mashahidi
Back
Top Bottom