Ndio nawaza nikisha soma hii post graduate diploma je kweny mfumo wa ajira wa Tanzania hii ipo au maana sijawahi kuona kazi inayo muhitaji mtu mweny hii kazi au wanaitwaje hawa watu kweny ajira hasa za serikali
Yaan nina maana ya kwamba nilisomea shahada uongozi na utawala wa Serikali za mitaa ila hii imeku ngumu kuitwa interview kuliko Human Resource management na Public Administration, kuna watu wamenishauri nisomee hii POSTGRADUATE DIPLOMA moja kati ya POSTGRADUATED DIPLOMA IN HUMAN RESOURCE au...
Shukran kiongozi kwa majibu yako, mm ni
Kk kaangalie ajira za utendaji zinavyo toka kwa lvl ya diploma kwa kozi hii hii nilio somea but upnde wangu shida nina over qualifications
Hii kozi ya Local government Administration and Management mm nimesoma lkn imekua km jihanamu Hmn ajira kbsa nimekaa kitaa mwaka sasa ila post ya ajira zake zimetoka nafas 2 tu sishauri mtu kusoma cz ht mataasis binafsi hawaijui so kupta nafas huko lbda ushikwe mkono
Ndugu mm nilisoma HKL Nikataka somea sheria au Maswala ya Video and sound engineering kwa diploma ila nikaletewa ushaur kwamba kozi hii ni mpya niisomee cz kwa lvl ya diploma yake ina ajira so mpka ku establish degree yake uhitji utakua mkubwa lkn at the end of the day mambo yamekua magumi ila...
Mimi ni muhitimu wa shahada ya LOCAL GOVERNMENT ADMINISTRATION AND MANAGEMENT kutoka chuo cha serikali za mitaaa mwaka 2023
Nimekuwa nikiahangaika kuomba ajira hata sekta binafsi katika ngazi ya HR na Administration ila imekua ngumu lakini kwa ngazi ya serikali pia imekua ishu mpka leo nili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.