Mwalimu: wanafunzi, mkichukua minyoo ukaweka kwenye maji itafurahi na kurukaruka.......
na mkichukua minyoo hiyohiyo mkaweka kwenye pombe itaumia na kufa,..je mmejifunza nini katika somo hili
Kizibo: mwalimu me nimejifunza kuwa tukinywa pombe katika maisha yetu tutauwa minyoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.