Eti mamiradi mengine yanafanywa si kwa faida ya walipa Kodi wa sasa eti kumuenzi mtu aliyepita ambaye aliishi dunia iliyopita ambae kizazi cha sasa akimjui na wala hakina haja ya kumjua ili kiishi.
Ukiwa mtumishi wa watu na unalipwa na watu then ukikosea utaki kukosolewa au kuelimishwa pisha wengine kakune nazi au kachunge au kalime tikiti waachie wafanyakazi wengine ili kazi iende.
True tuongeze bidii Sana kusifu mungu wetu upenda sana kusifiwa tukiongeza bidii Sana kusifu na kupongeza ndivo mateso yetu yatakavyozidi pungua.
Nataka nifanye maandamano ya kuunga juhudi za kujifukiza sema mikusanyiko hairuhusiwi
Hapo uhujumu uchumi unahusu kabisa tena hakimu upigilia kabisa ili apate promotion,uoni waliowashughulikia wapinzani walivo lamba teuzi.Maana mbongo mbele ya pesa au teuzi utu baadae.
Hakimu aliyemfunga sugu aliteuliwa ujaji akiwa amestaafu.
Hizo kesi polisi na mahakimu uzipenda Sana ndizo...
Watawala wa kiafrica ni unmatured, uncivilized.wanadili na vitu vidogovidogo mfano kuwashughulikia wapinzani wako bize mitandaoni kusaka wakosoaji.Wenzetu wako bize na issues Wala huwezi kuta polisi hata anahangaika na wwe wanakuona sawa na mtu kichaa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.