Wana JF tusizungumzie watu. Vyama vya siasa vinavyowapa nafasi za uongozi mafisadi hakika hata vingekuwa na 'sera' na 'mifumo' ya maendeleo, 'Safari za Matumaini/ Uhahika/ Mabadiliko/ Mageuzi/ nk) ni ndoto za alinacha. Watanzania makini waviweka pembeni vyama hivyo. Mchumia tumbo ni adui wa...
La msingi si 'mtu' ila ni 'Chama' gani kina mikakati ya mshiko na kutekelezeka kufunga milango ya mafisadi papa wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi huku wakijineemesha. Udanganyifu wa maneno jukwaani (mfano "nachukia umaskini") hauna nafasi katika siasa kwa Watanzania kwa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.