Recent content by Muigutu001

  1. M

    Biashara ya kununua nafaka Mbeya na kuuza kwenye masoko

    Habari wana JF, katika kujitafuta kimaisha nataka kuingia mbeya kununua nafaka kwa wauzaji wa jumla. Natamni kujua Faida ya hii biashara, Changamoto zake na pia Fursa zilizopo kwenye hii biashara. Pia ningependa kujua kwa Mbeya nianzie wapi.
Back
Top Bottom