Ally lazma awe muungwana.Kinachokuwa kipo nje ya uwezo wake aseme tu.Hilo sina uwezo nalo mbona watu tutamuelewa?
Km vp afungue tv na redio hapo tutajua kuwa kwel kamari dini yet hairuhusu.Kukubali kushindwa ni uungwana pia.
kwa simba hii niliyoiona inakata pumzi na geita na inakata pumzi na red arrows.Kesho makolo kufungwa ni km umuhm wa binadam kula chakula km ana afya njema
acha uongo usajili ni mchakato.Na ndio maana kuna maskauti wa kuwafuatilia wachezaj.Na ndio maana ulaya hakuna majaribio ya mchezaj zaid ya kumpima afya tu.
Wewe acha kujichanganya.Simba msimu huu inawachezaj weng wabovu.Hata usajil mpya.Ni mchezaj gan mpya angeanza kwa perfomance ya wachezaj wa simba wa msimu uliopita?
Ukubali ukatae thimba mbovu.
Makolo fc
itc cio kitu kikubwa cha kubebwa na winch au kuwa inaweza kuchelewa ndege.
Ni jambo dogo la kubonyeza batani za kompyuta tu.
Kwa hyo msimalze maneno yote.Weken mengne ya akiba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.