Recent content by MuhimuTu2025

  1. M

    DOKEZO Wafanyakazi wapya Halmashauri ya Ngara wanalazimishwa kulipwa pesa ya kujikimu chini ya kiwango

    Umeongea vyema sana mdau.Yan bila hili watoto walikuwa wanalizwa ..kisingizio serikali ilozidisha watumiashi kadhaa ambao hawakuwa kwenye bajeti ya malipo.Swali linakuja kwanin ofis ya mkurugenzi isitumie mapato ya ndan au Oc kuwalipa hao waliokuwa hawapo kwenye hio pesa iliyotoka juu kuliko...
  2. M

    DOKEZO Wafanyakazi wapya Halmashauri ya Ngara wanalazimishwa kulipwa pesa ya kujikimu chini ya kiwango

    Huwezi kujua wanangara wote.Pia hakuna mahali DMO katajwa, pesa hazitoki kwake.ILa shukran tumejua kumbe naye kahusika katika hili kupitia wewe. Ishu iko addressed kwa mkurugenzi, jifunze kujibu hoja husika.
  3. M

    DOKEZO Wafanyakazi wapya Halmashauri ya Ngara wanalazimishwa kulipwa pesa ya kujikimu chini ya kiwango

    Habari , Watumishi ajira mpya ya Mwaka 2024 wamelipwa hela zao za kujikimu flat rate nchi nzima lakini Halmashauri ya Wilaya ya Ngara inawalazimisha Watumishi hao kusaini siku 5 tu na pia chini ya kiwango. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ngara acha wizi, lipa vijana pesa zao. Mbunge wa Ngara...
  4. M

    DOKEZO Barua ya wazi kwa Mkuu wa Mkoa Kagera, Mganga Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya Ngara na Mganga Mkuu wa wilaya ya Ngara

    Ulishasema Daresalam, ndio CHF huko ni elfu 70,huku ni elfu 30....wajawazito ni exemption na watoto chini ya miaka 5, wakienda hospital ya rufaa hapo ndipo atachangia kidogo...vinginevyo hatakiwi kulipa hata mia labda kama sehemu ya kutolea huduma hawana vifaa ataombwa akanunue....mengine ni...
  5. M

    DOKEZO Barua ya wazi kwa Mkuu wa Mkoa Kagera, Mganga Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya Ngara na Mganga Mkuu wa wilaya ya Ngara

    Huyo wa zamani ni mbaba mtu mzima walimuamisha , yan kituo cha afya kama cha baba yake.Mjamzito na mtoto chini ya miaka mitano ni exemption hawalipii kitu labda kama wakienda hospital ya rufaa pekee huko wanaweza changia matibabu
  6. M

    DOKEZO Barua ya wazi kwa Mkuu wa Mkoa Kagera, Mganga Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya Ngara na Mganga Mkuu wa wilaya ya Ngara

    YAH: MALALAMIKO KWA NIABA YA WANANCHI WA RUSUMO KUHUSU HUDUMA DUNI KATIKA KITUO CHA AFYA RUSUMO Kwa heshima na taadhima, mimi, kwa niaba ya wananchi wa Rusumo, nawasilisha malalamiko yafuatayo kuhusu changamoto kubwa tunazokumbana nazo katika Kituo cha Afya Rusumo, ambazo zimekuwa kero kwa muda...
Back
Top Bottom