Vipi wote
Kama muanzilishi ya website ya Pango Tanzania nimefanya utafiti kuhusu biashara ya real estate (nyumba viwanja vya kukodisha na kuuza) na nimefikia kwenye conclusion yakua Dar kuna scarcity za nyumba za kukodisha kwa sababu ya wingi wa watu wano hamia dar na nyumba zilizopo sio nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.