Email is one of the most essential communication tools we have today. Almost everyone has an email account to send and receive messages to their personal and business contacts. What most people don’t know is how to send an email to a phone number. This can be useful for various situations...
hapana huyu alikuwa mgiriki aliezaliwa libya kwasababu zamani wagiliki walishaanaga kufanya utawala kwenye nchi mbali mbali hivyo yeye alizaliwa kwenye nchi ya libya ambako wagiriki wa kale walikuwa wameweka tawala zao kingine hakudumu huko alienda misri kwa maswala ya kiualimu
Sent using Jamii...
Eratosthenes wa Kirene alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa hasa kama mtu wa kwanza aliyekadiria mzingo wa dunia. Anasemekana aliibuni neno "jiografia".
MAISHA YA MWANA JOFRAFIA HUYU
Erastothenes alizaliwa...
Mwaka 1501-1504 Mchongaji maarufu wa sanamu wa kule italia Michelangelo alipewa kazi ya kuchonga sanamu ya Daudi na familia ya kitajiri ya nchini Italia katika mji wa Florence.
Kwa kuwa Michelangelo alikuwa maarufu kwa kazi hizo kitendo hicho kilivutia hisia za wengi kutaka kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.