Recent content by Mugongo Mugongo

  1. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Hahaha! This sums it all. Indeed, na kwasababu majority hapa JF ni CHADEMA, basi concensus ni kwamba Zitto kaonewa. Case closed!
  2. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Alisikiliza na kutafakari hoja zote mbili. You know, you can do it too, now that we have those hojas here at JF.
  3. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Hahaha! I liked hiyo uliyochomekea ya "kufungia watu Ubunge".
  4. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Huu ndio ugonjwa wetu mkubwa. Tunaangalia hili jambo kwa miwani ya kiitikadi. Mie nikiwa namba moja, by the way.
  5. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    So, what have I got: three people. One saying utaipata na utajuta kutu-criticise. Mwingine anasema ana "criminal record" yangu (kwi kwi kwi!). Mwingine anatishia "you are in for a treat silly". And all are CHADEMA people. The reason: they got a little wake-up call kwamba kuna upande wa pili wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    So, what have I got: three people. One saying utaipata na utajuta kutu-criticise. Mwingine anasema ana "criminal record" yangu (kwi kwi kwi!). Mwingine anatishia "you are in for a treat silly". And all are CHADEMA people. The reason: they got a little wake-up call kwamba kuna upande wa pili wa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Nimewachokonoa eh! mpaka mnaweka visasi. Kwikwikwi!
  8. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    hahaha! poa basi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Well, tunayasubiri mapokezi. Tushazoea kusimamisha kazi kwa sherehe za kila mara.
  10. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    If you are a CHADEMA, then those are my sentiments about them. If you are a neutral, haikuhusu. My posting is very categorical as to whom it concerns.
  11. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Anakuwa tishio kwa Mbowe na soon wataanza kumfanyia fitna kama walivyomtoa Shaibu Akwilombe na Amani Walid Kaburu. No wonder kuna siku hapa JF mtu mmoja alipo-suggest kuwa yeye ndio awe kiongozi wa CHADEMA huyu bwana aliomba kauli ifutwe mara moja kwasababu anajua madhara yake. Kwikwikwi!
  12. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Hahaha! I see moderators wamefanya mambo na kuanzia sasa "i.diot" imezuiwa kutumika hapa JF. So, the brand has to stuck to Mr. Mbowe.
  13. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Kwahiyo, perhaps kuna precedent kwa mapokezi ya thieves and ****** who are sanctioned by the Parliament.
  14. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Fikiraduni, Wewe sasa unalazimisha tembo afanye gymnastics. Ukiondoa Kitila, katika hawa jamaa hakuna mwenye intellectual stamina ya kupitia documents zote mbili na kuchambua hoja kwa hoja. Hapa ukileta headline ya Kulikoni ndio wao wanajitumbukiza. Mwanakijiji akisema kaonge na Meddy...
  15. M

    JamiiForums Tanzania The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Judy, nimefanya yale masahihisho with context. Nilikuwa namrekebisha Bwana Philemon Mikael, kiongozi mwenye dhamana kubwa katika jamii yetu, na ambaye watu wanadai he is extremely intelligent lakini anadai kuandika "rainball" badala ya "rainbow" ni kuteleza vidole. Caught him on stupidity...
Back
Top Bottom