Recent content by Mugalaganza

  1. M

    Mafao ya Kupoteza Ajira

    Mkoa wa Geita mkuu! Niliandika barua toka tarehe 8/04/2025 lakini sijapata notification yoyote hadi muda huu
  2. M

    Mafao ya Kupoteza Ajira

    Atusaidie tufahamu maana Mimi mwenyewe nimeandika barua ya kuhamisha michango yangu kwenda kwenye mfumo wa uchangiaji wa hiari. Je nitafahamu vipi kuwa michango yangu imeshahamishwa maana ni mwezi Sasa sijapigiwa simu yeyote na PSSSF
  3. M

    Dhamana iliyowekwa na mifuko ya hifadhi ya Jamii PSSSF/ NSSF kwenye Mikopo

    Naomba kuuliza mkuu ikiwa umeomba kuhamisha michango yako ya Psssf kwenda mfumo wa uchangiaji wa hiari. Baada ya kukaa miaka miwili bila ajira na miezi 20 bila ajira toka upate fao la kukosa ajira je? inachukua muda gani kuhamishwa? na inawezekana pesa yako kuwekewa moja kwa moja au hadi uanze...
Back
Top Bottom