samahani kiwangocha chini ni kilo 100 hiyo ni kwa jinsi utakavyotaka mteja kama ni kila cku au kwa wiki wiki au kwa kila baada ya cku 1,2,3....nk kwa mawaciliano zaidi namba ni 0753036119 karibu.
Habari zenu! mimi nipo dar es salaam nafanya shughuli ya ku-supply samaki sato wa Mwanza kilo sh 7,500/= nina supply kuanzia kilo 100 na kuendelea sio chini ya hapo.
Kwa maziwa fresh ya ng'ombe lita @1700 na yenyewe kuanzia lita 100 nakuletea hadi mlangoni, nina uwezo wa kusupply kwa jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.