Recent content by MtuMzima News

  1. M

    Mwekezaji aunganishiwa maji umbali wa Km 12 huku Vijiji bomba hilo lilipopita vikikosa maji

    Kitendo cha Mwekezaji kupelekewa maji na Wananchi kukosa, kimeibua maswali kwa Wananchi wa Kitongoji cha Mgodini, Nyakavangala, Kata ya Malenga Makali, Wilaya ya Iringa mkoani Iringa. Mwekezaji huyo amepelekewa maji, huku Wananchi wenye uwezo mdogo wakinunua maji kwa ndoo moja TZS 500/-, huku...
Back
Top Bottom