Ni usiku wa manane ambao siwezi kuusahau katika maisha yangu,binti wa miaka kumi na saba akiwa na damu nyingi mapajani alikata roho akiwa wodini,jaribio la kutoa mimba kiharamu lilishindikana na kuamua kuchukua uhai wake na mtoto,lakini chanzo cha yote ni uzembe wa watoa huduma ya Afya kushindwa...
Tasnia ya Habari ni miongoni mwa Tasnia zenye Hadhi kubwa katika Taifa letu. Waandishi wa habari na Vyombo vya habari ukiwa ndio mhimili mkubwa kabisa wa sekta hii muhimu ya kupashana habari.
kadri miaka inavyozidi kwenda na teknolojia kukua ndio sekta hii inavyozidi kudidimia badala ya...
Kama taifa huru muumba wetu alikiunda kipande hiki,kama sehemu tu ya dunia yetu nzuri.
Taifa hili tukufu linaaminika kuwa ni makazi ya mwanzo ya binadamu wa kale,mabaki ya watu wa kale yaliyopo Olduvai Gorge Arusha, uwepo wa mbuga za Serengeti na Ngorongoro na uwepo wa viumbe vinavyopatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.