Hapo umesema kweli! Ukiwa mtetezi wa wanyonge si lazima na we uwe hohe hae kama wao! Utapimwa kwa dhati yako, ukweli wako na nia yako ya ndani ikiambatana na maneno yako. Pia vitendo vyako vinavyoshabihiana na kauli zako! Zaidi ya hayo ukiwa na rasilimali pesa una added advantage ya kuwatetea...
Nakuunga mkono kwa hili ki msingi! Kuna uwezekano kuwa kweli hizo hisa wamepewa tu kwa nafasi zao ili waweze kutumiwa kunyoosha mambo ya kampuni serikalini. Lakini inabidi kuthibitishwa kama ni hivyo!
Cha pili sina uhakika kama kweli kuna sheria inayokataza Rais kuwa mfanyabiashara madarakani...
Mi nadhani hoja ya msingi iwe ni mkataba huu aliosaini Mh. Karamagi kama una maslahi ya kweli kwa nchi na tushawishiwe na tujiridhishe kuwa huu mpya wa mwezi feb. 2007 ni tofauti na ile mingine ambayo wajanja wachache walijipatia 10% zao wakawaingiza Watanzania mkenge!
Sasa basi na mimi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.