Wazee MSAADA kuna Ndugu yetu amekata shauri la Kuoa, na Mke anayetaka kuoa kabila lao ni Wakwere.
Kwa anayejua tamaduni za Wakwere kwenye kupelekewa posa na namna Barua inavyoandikwa (Kama kuna sampo itakua bora zaidi) na nini kinaambatanishwa humo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.